SAUTI YA QURAN FM-logo

SAUTI YA QURAN FM

0 Favorites

Sauti Ya Quran Fm Radio ilisajiliwa rasmi chini ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) mwaka 2000, na inamilikiwa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA).Radio yetu ipo kwenye makutano ya Barabara ya Lindi na Shaurimoyo, Kata ya Gerezani...